NEW VIDEO// SHAA ft REDSAN - NJOO
Ni
kati ya wale mastaa wa bongo ambao huwa hawapotei kwenye muziki, wapo
miaka na miaka na kadri time inavyosogea ndio wanazidi kubadilika
inavyotakiwa na kufanya kazi zenye ubora.
Sifa nyingine kubwa ya Shaa ni kazi kubwa ambayo huwa anaifanya akiwa kwenye stage.
No comments:
Post a Comment