Wednesday, July 9, 2014

DAYNA NYANGE SASA APATIKANA KWENYE MDUNDO

 

 Mwanamuziki kutoka nchini Tanzania mwana dada Dayan Nyange anazidi kuchana mbuga baada ya kampuni ya mdundo ya nchini kenya wanaomiliki website mdundo.com kuingia naye mkataba wa kuuza nyimbo zake. Kupitia A/C Instagram Mdundo waliposti na mwana dada huyo mkali wa sauti ku kupost katika A/C yake ya facebook. Saport mziki wa Tanzania sasa

Hii ni link ya Mdundo.com
@mdundomusic "Ladies and Gentlemen. @daynanyange has a brand new popping jam and you can download it here. Mdundo.com/song/15459 ‪#‎Taking‬ ‪#‎EastAfrica‬ ‪#‎ByStorm‬ ‪#‎keepitmdundo‬" via @PhotoRepost_app

No comments:

Post a Comment