Unaikumbuka basi imba??? ni moja ya ngoma iliyofanya poa sana hapa na nje ya Tanzania. msanii anaitwa Richard alimshirikisha Tunda woye toka Tip Top Connection. Huu sasa ni ujio wake mwingine.
Artist- Richard
Song - Upo mwenyewe
Producer Sheddy Clever.
Ni jumaa tatu ya 26 may 2014, kitaa kitanuka mbaya. kaa tayari
No comments:
Post a Comment